Fella ameongezea kuwa Bibi Cheka amekuwa akikutana na changamoto nyingi kama kusemwa vibaya na watu wa karibu yake kuwa anafanya muziki na watoto na kukosolewa kuhusu mavazi yake [Jeans] anayovaa kwenye jukwa.
Bibi Cheka anakuja na wimbo mpya umefanywa na Producer Shirko.
No comments:
Post a Comment