Asubuhi ya leo September 08 kabla wasanii kuanza safari ya kurudi Dar walitiza ahadi yao kwa ndugu na jamaa pamoja ma majuruhi wa ajali kwa kuwatembelea katika hospitali ya mkoa wa mara walipolazwa majuruhi hao na kugawana nao kidogo walichokipata kupitia show yao ya Serengeti Fiesta 2014 iliyofanyika jana.
Tuesday, 9 September 2014
Wasanii waliporudi tena kutoa misaada kwa majeruhi wa ajali ya Musoma baada ya Fiesta.
Asubuhi ya leo September 08 kabla wasanii kuanza safari ya kurudi Dar walitiza ahadi yao kwa ndugu na jamaa pamoja ma majuruhi wa ajali kwa kuwatembelea katika hospitali ya mkoa wa mara walipolazwa majuruhi hao na kugawana nao kidogo walichokipata kupitia show yao ya Serengeti Fiesta 2014 iliyofanyika jana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment