
Akizungumza kutoka Moshi akiwa na Dudubaya, Mr Nice alisema wameamua kumaliza tofauti zao na kuanza kufanya kazi pamoja.
“Kesho tuna show halafu tuna show tena Namanga mpakani mwa Tanzania Kenya, huyu ni swahiba yangu, ninampa shavu kwa sababu huku ni kwangu, na sina ubaya naye mambo freshi, yale yalishaisha sisi ni marafiki na ni ndugu,” Mr Nice ameiambia Bongo5.

Dudubaya aliwahi kumvamia Mr Nice akiwa stejini na kumjeruhi kwa kipigo kikali
No comments:
Post a Comment