Kiongozi
Mkuu wa Utafiti juu ya matumizi ya pombe uliofanyika Wilaya ya
Kinondoni, Dk. Severine Kessy akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari
namna utafiti ulivyoendeshwa. Utafiti huo uliendeshwa na Chama cha
Wanahabari Wanawake (TAMWA) kwa kushirikiana na Shirika la IOGT.
Baadhi ya waandishi wa Habari waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa ripoti
hiyo wakifuatilia matukio na ufafanuzi juu ya ripoti hiyo.
Baadhi ya waandishi wa Habari waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa ripoti
hiyo wakifuatilia matukio na ufafanuzi juu ya ripoti hiyo.
Wednesday, 8 October 2014
TAMWA Yazinduwa Ripoti ya Matumizi ya Pombe Kinondoni
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment