MCHELE ulionyooka! Staa wa Bongo Fleva, mwenye sauti
ya kumtoa nyoka pangoni, Estelina Sanga ‘Linah’ na mchumba’ke, Nangari
Kombo wanadaiwa kutibuana, kisa kikidaiwa ni maneno ya wanafiki
yasiyokuwa na ukweli.
Staa wa Bongo Fleva, mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni, Estelina Sanga ‘Linah’
Lina akiwa na mpenzi wake, Nangari Kombo.
Linah alipoulizwa kuhusu ishu hiyo alisema: “Ni kweli kulitokea kutoelewana but (lakini) tumeyamaliza, tupo vizuri sana.”
No comments:
Post a Comment