Watu zaidi ya 28 wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya mabasi ya Mwanza Coach na j4 Express lenye namba za usajili T677 CYC lililokuwa likitokea Sirari kwenda Mwanza kugongana na basi la Mwanza Coach lenye namba za usajili T736 AWJ leo asubuhi.
Friday, 5 September 2014
WATU ZAIDI YA 28 WAHOFIWA KUFA KATIKA AJALI YA MAGARI MARA
Watu zaidi ya 28 wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya mabasi ya Mwanza Coach na j4 Express lenye namba za usajili T677 CYC lililokuwa likitokea Sirari kwenda Mwanza kugongana na basi la Mwanza Coach lenye namba za usajili T736 AWJ leo asubuhi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment