Kazi hiyo itakuwa ikitekelezwa na kamati ya kanuni ya bunge la katiba kabla kufuatiwa na hatua nyingine. Sudi Mnette amezungumza na mmoja kati ya wajumbe wa bunge hilo, Salma Said ambapo kwanza alitaka kujua pamoja na kasoro zilizokuwa zikijitokeza katika mchakato huo na hasa tafrani ya jana katika michango wa baadhi ya wabunge kitaka suala la muungano, hali jumla ikoje? Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini
No comments:
Post a Comment