welcome

you are welcome dj zombie blog, dodoma tanzania. for latest videos, audios and news.

Friday 21 November 2014

HABARI MPYA KAJALA KUZAA TENA! ANAZAA NA NANI


Mwigizaji wa filamu Bongo, Kajala Masanja akiwa na mwanaye Paula.
Akipiga stori na mwandishi wetu, Kajala alisema anasaka mimba kwa namna yoyote ili mwanaye Paula apate mdogo wake hivyo suala hilo lipo katika mchakato yakinifu na mpenzi wake wa sasa ambaye hakupenda kumwanika jina lake.

MWIGIZAJI Kajala Masanja amefunguka kuwa anatamani kuongeza mtoto wa pili kwani tayari aliyenaye ameshakua vya kutosha.

No comments: