welcome

you are welcome dj zombie blog, dodoma tanzania. for latest videos, audios and news.

Friday 17 October 2014

UNAAMBIWA BAADA YA AMBER ROSE KUMTEMA WIZ KHALIFA...HIKI NDIO KIFAA KIPYA CHA WIZ!

Wanasema wawili hawa kuna uwezekano wako kwenye ile time ya kuonyeshana/kuringishiana au kutaka kuumizana kwamba pamoja na kwamba hauko na mimi, mimi niko na huyu sasa hivi.

Ni kwamba rapper Wiz Khalifa na Amber Rose waliokua wanandoa wameachana hivi karibuni baada ya kukaa kwenye ndoa ya miezi 14 wakati ambapo mtoto wao Sebastian ana miezi 20 tu.

No comments: