welcome

you are welcome dj zombie blog, dodoma tanzania. for latest videos, audios and news.

Friday 17 October 2014

CLOUDS FM WAINGILIA DILI LA TIMES FM NA DAVIDO


Kama unayo kumbukumbu nzuri katika moja ya machapisho ya FichuoTz tulikuletea habari juu ya ujio wa mwanamuziki David Adedeji Adeleke (DAVIDO) kutoka nchini Nigeria ambaye analetwa nchini na kituo cha redio kiitwacho Times Fm.
Sasa imebainika kuwa Clouds Fm wamedhamiria kuharibu dili hilo la redio pinzani, na siri hivyo imetolewa na Vinega pamoja na ushahidi wa barua...Fuatilia walichotuambia hapa... 

No comments: