HII ni too much! Jalada namba KW/RB/7565/2014-SHAMBULIO LA KUDHURU MWILI lililopo kwenye Kituo cha Polisi cha Kawe, Dar, linamhusu mama aliyetajwa kwa jina moja la Teddy, mkazi wa Tegeta kwa madai ya kumtumikisha na kumtesa mtoto Magdalena Elisha (10) na kumsababishia majeraha na makovu ya vidonda sehemu mbalimbali mwilini.
Kwa upande wake Magdalena alidai kwamba alikuwa akipokea kipigo kila siku hasa wakati mama huyo alipokuwa akirejea nyumbani kutoka ‘jobu’ na kukuta mwanaye analia.
No comments:
Post a Comment