welcome

you are welcome dj zombie blog, dodoma tanzania. for latest videos, audios and news.

Friday 17 October 2014

DIAMOND AWA MWANAMUZIKI WA KWANZA TZ KUTUMIA CUSTOMIZED PLATE NUMBER YENYE JINA LAKE


Diamond Platnumz ambae kwenye birthday yake hivi karibuni management yake ilimzawadia gari aina ya BMW X6 ambapo inaaminika amechukua namba hizi kwa ajili ya mkoko wake aliozawadiwa na atakua msanii wa kwanza kuweka jina lake badala ya namba kwenye gari. 
Utaratibu wa kuweka majina badala ya namba umeanza kutumika kihalali nchini Tanzania ambapo watu mbalimbali wasio maarufu walishaanza kujiwekea miezi kadhaa iliyopita ambapo ada yake ni milioni tano kwa miaka mitatu.

No comments: