welcome

you are welcome dj zombie blog, dodoma tanzania. for latest videos, audios and news.

Friday 12 September 2014

http://api.ning.com/files/6MrupP07zeP2771ewDQ4HT2JCXsn1JQ4sKiyjrr8SaGSs9kaEDW6UkmFh*lIBXUGk*5rhpLWGBow-5UAv1fXFodxaOseDeN2/IMG_0436.JPGStori: Mayasa Mariwata
STAA wa filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’ amefunguka kuwa miongoni mwa vitu vilivyokuwa vimeuteka ujana wake ni pamoja na matumizi ya mkorogo ambapo ilikuwa vigumu kuacha baada ya kuokoka.
                          Staa wa filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’.
Akipiga stori na paparazi wetu, Mainda alisema kutokana na starehe za ujana pamoja na kutaka kuonekana mrembo, alitumia vipodozi hatari bila kujua kwamba vina madhara makubwa mwilini mwake.
 “Kusema kweli niliamini mkorogo ni kitu ambacho kingeniongezea mvuto kwa kiasi kikubwa, bila kujua kuwa nilikuwa najisababishia madhara mwilini.

Pia nilikuwa nafanya kitu kisichompendeza Mungu, katika kujitakasa na maovu yangu kwa Bwana ndiyo maana nikaamua kuacha kabisa kujichubua japo haikuwa rahisi,” alisema Mainda.

No comments: