welcome

you are welcome dj zombie blog, dodoma tanzania. for latest videos, audios and news.

Tuesday 9 September 2014

DIAMOND ATWAA TUZO YA COLLABO BORA YA MWAKA AUSTRALIA

                              Tuzo waliyopata Dezert Eagle na Diamond Platnumz.

Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz'.
STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametwaa tuzo nyingine ya Afro-Australia Music and Movie Awards (AAMMA) 2014 kutoka Australia ya Collabo Bora ya Mwaka kupitia nyimbo aliyoshirikishwa na Desert Eagle iitwayo Everyday. Kupitia akaunti yake ya Instagram, Diamond aliyeko nchini Nairobi amewajulisha mashabiki wake kuhusu tuzo hiyo kwa kuandika hivi:

No comments: