welcome

you are welcome dj zombie blog, dodoma tanzania. for latest videos, audios and news.

Monday 1 December 2014

DIAMOND NA WEMA KUSHINDANIA TUZO PAMOJA SWAHILI FASHION WEEK MWAKA HUU


MWANAMUZIKI wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Nasib Abdul, Diamond Platinum anashindana na aliekuwa mpenzi wake Wema Sepetu katika kuwania Tuzo ya Mtu mwenye ushawishi mkubwa katika mitindo. 
Tuzo hiyo zitatolewa kwenye Onesho la Mavazi la Swahili Fashion 2014 linaloandaliwa na Kampuni ya 361 Degrees na zitatolewa siku ya mwisho katika onesho la Swahili Fashion Week litakaloanza Desemba 5 hadi 7 mwaka huu.
Katika shindano hilo wanaoshindana wengine ni pamoja na Mwamvita Makamba            ambae namba yake ya kupigiwa kura ni SFW SY 01, Diamond Platnumz       SFW SY 02, Millen Magesse   SFW SY 03, Mohamed Dewji  SFW SY 04 na Wema Sepetu           SFW SY 05.
Pia Diamond anashindana katika kipengele cha wanaume wenye kuongoza huku namba yake ya ushiriki ikiwa ni SFW SMP 01 na anaochuana nao katika kipengele hicho ni pamoja na Luca Neghest        SFW SMP 01,  Baraka Shelukindo       SFW SMP 03, Noel Ndale        SFW SMP, Rio Paul      SFW SMP 05 na           Juma Juxx        SFW SMP 06
Akizungumza na waandishi wa habari mratibu wa tuzo hizo, Haruna Ibrahim alisema kuwa kwa mwaka huu kuna ushindani mkubwa katika kila kipengele. Aliongeza kuwa Meneja wa Msanii Wema Sepetu, Martin Kadinda nae anawania kipengele cha Mbunifu bora wa mchango katika tasnia hiyo ambapo anashindana na  akina PSJ Couture    SFW MWD 01

No comments: