welcome

you are welcome dj zombie blog, dodoma tanzania. for latest videos, audios and news.

Sunday 2 November 2014

MENINA AFUNGUKA KUHUSU TETESI ZA KUWA NA MIMBA YA DIAMOND PLATINUMZ!

Meninah ambaye ni zao kutoka Bongo Star Search miezi michache iliyopita ameripotiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Diamond Platnumz hukumwenyewe akikana mara kadhaa kila anapopata nafasi ya kulizungumza hili.



Kupitia kisehemu cha You heard kwenye kipindi cha XXL Soudy Brown amekuja na stori inayohusu hali inayosemekana anayo kwa sasa Meninah kwa kile kinachosemwa ana ujauzito wa Diamond PlatnumzPICHA ZAIDI>>

No comments: