welcome

you are welcome dj zombie blog, dodoma tanzania. for latest videos, audios and news.

Wednesday 8 October 2014

TAMWA Yazinduwa Ripoti ya Matumizi ya Pombe Kinondoni

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA, Bi. Gladness Munuo (katikati) akionesha ripoti ya utafiti juu ya matumizi ya pombe na inavyochangia unyanyasaji wa kijinsia kwa Wilaya ya Kinondoni. Kulia ni Mwakilishi wa Shirika la IOGT ambalo ndio wawezeshaji wa utafiti huo. Wa kwanza kulia ni Mwakilishi wa Shirika la IOGT. Ripoti hiyo imezinduliwa leo jijini Dar es Salaam.Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA, Bi. Gladness Munuo (katikati) akionesha ripoti ya utafiti juu ya matumizi ya pombe na inavyochangia unyanyasaji wa kijinsia kwa Wilaya ya Kinondoni. Kulia ni Mwakilishi wa Shirika la IOGT ambalo ndio wawezeshaji wa utafiti huo. Wa kwanza kulia ni Mwakilishi wa Shirika la IOGT. Ripoti hiyo imezinduliwa leo jijini Dar es Salaam.
Mwakilishi wa Shirika la IOGT nchini Tanzania (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari kabla ya uzinduzi wa ripoti ya matumizi ya pombe na athari katika vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia. Mwakilishi wa Shirika la IOGT nchini Tanzania (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari kabla ya uzinduzi wa ripoti ya matumizi ya pombe na athari katika vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia.Kiongozi Mkuu wa Utafiti juu ya matumizi ya pombe uliofanyika Wilaya ya Kinondoni, Dk. Severine Kessy (kushoto) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari namna utafiti ulivyoendeshwa. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA, Bi. Gladness Munuo. Utafiti huo uliendeshwa na Chama cha Wanahabari Wanawake (TAMWA) kwa kushirikiana na Shirika la IOGT. Kiongozi Mkuu wa Utafiti juu ya matumizi ya pombe uliofanyika Wilaya ya Kinondoni, Dk. Severine Kessy (kushoto) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari namna utafiti ulivyoendeshwa. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA, Bi. Gladness Munuo. Utafiti huo uliendeshwa na Chama cha Wanahabari Wanawake (TAMWA) kwa kushirikiana na Shirika la IOGT.Kiongozi Mkuu wa Utafiti juu ya matumizi ya pombe uliofanyika Wilaya ya Kinondoni, Dk. Severine Kessy akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari namna utafiti ulivyoendeshwa. Utafiti huo uliendeshwa na Chama cha Wanahabari Wanawake (TAMWA) kwa kushirikiana na Shirika la IOGT. 
Kiongozi Mkuu wa Utafiti juu ya matumizi ya pombe uliofanyika Wilaya ya Kinondoni, Dk. Severine Kessy akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari namna utafiti ulivyoendeshwa. Utafiti huo uliendeshwa na Chama cha Wanahabari Wanawake (TAMWA) kwa kushirikiana na Shirika la IOGT.Baadhi ya waandishi wa Habari waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa ripoti hiyo wakifuatilia matukio na ufafanuzi juu ya ripoti hiyo. Baadhi ya waandishi wa Habari waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa ripoti hiyo wakifuatilia matukio na ufafanuzi juu ya ripoti hiyo.Baadhi ya waandishi wa Habari waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa ripoti hiyo wakifuatilia matukio na ufafanuzi juu ya ripoti hiyo. Baadhi ya waandishi wa Habari waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa ripoti hiyo wakifuatilia matukio na ufafanuzi juu ya ripoti hiyo.

No comments: