welcome

you are welcome dj zombie blog, dodoma tanzania. for latest videos, audios and news.

Saturday 4 October 2014

SIMBA YAENDELEA KUCHECHEMEA LIGI KUU YA TANZANIA BARA

Golikipa wa timu ya Stend United, John Mwenda akidaka mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba, Amisi Tambwe wakati wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka  Tanzania uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1. (Picha na Francis Dande) 

Mshambuliaji wa Simba, Amis Tambwe akimtoka beki wa Stand United, Idd Mobby.
Maguri akiipangua ngome ya Stand United.
Idd Mobby akimdhibiti Emmanuel Okwi.


MATOKEO YOTE YA LEO

SIMBA 1- STAND UNITED 1
PILISI MORO 1- KAGERA SUGAR 1
AZAM FC 0 - TANZANIA PRISONS 0
RUVU SHOTING 0 - MBEYA CITY 0
COASTAL UNION 2 - NDADA FC 1

No comments: