welcome

you are welcome dj zombie blog, dodoma tanzania. for latest videos, audios and news.

Saturday 25 October 2014

MAFAHARI WAWILI HAWAKAI ZIZI MOJA URAFIKI WA WEMA NA AUNT WADAIWA KUOTA MBAWA


                                                                            Aunty Ezekiel na Wema Sepetu

New Gossip zinadai kuwa Wema Sepetu na Aunty Ezekiel wametibuana na sio best friends tena, habari hizo kwa mujibu wa gazeti moja zinasema chanzo cha ndani toka kwa wawili hao zinadai kuwa Wema na Aunty walikwaruzana hivi juzi kati kabla ya Wema Sepetu kwenda nchini China 

kibiashara ambapo bado yupo mpaka sasa na kumtosa shoga'ke huyo Aunty Ezekiel. Katika safari hiyo Wema ameongozana na Martin Kadinda na Petitman.
Aunty alipoulizwa na paparazi wa gazeti hilo hakutaka kulizungumzia suala hilo kwa undani ila alisema kuwa sio kila sehemu lazima aongozane na Wema kwani yupo busy na kazi na mambo yake binafsi.

No comments: