welcome

you are welcome dj zombie blog, dodoma tanzania. for latest videos, audios and news.

Sunday 28 September 2014

AUNTY LULU AMWAGA CHOZI BAADA YA KUTENDWA


MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Lulu Mathias Semagongo ‘Aunty Lulu’ amefunguka kuwa ametendwa vya kutosha na marafiki hivyo kwa sasa hahitaji tena kuwa na rafiki.Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Lulu Mathias Semagongo ‘Aunty Lulu’
Akipiga stori na mwandishi wetu, Aunty Lulu alisema kwa nyakati tofauti marafiki wamemponza akaachika kwenye uhusiano wa wapenzi wake, kumgombanisha na watu anaofanya nao kazi na mambo mengi yanayofanana na hayo hivyo kwa sasa hahitaji marafiki.
‘Aunty Lulu’ akipozi.
“Nimetendwa sana na marafiki, bora niachane nao niishi kivyanguvyangu, nijitafutie maisha yangu mwenyewe. Sihitaji kabisa marafiki kwa sasa,” alisema Aunty Lulu.

No comments: